MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Wakuu hili jambo linawafurahisha sana wanachama wa CCM ambao ni wapinzani sugu wa UKAWA, kuna nini hapo? Kinachowafurahisha CCM hasa ni nini juu ya mambo ya CUF?Wananufaikaje hapo?
HAPA YAWEZEKANA KUNA MAWILI MATATU;
1.Kuchochea mgogoro ndani ya CUF ili chama kipasuke vipande vipande CCM kupenya vizuri?
2.Kwenda kuvuruga UKAWA ambao wameendelea kua wamoja?
3.Kujua nini kinaendelea ndani ya chama hasa kuhusu mgogoro wa Zanzibar kwa manufaa yake binafsi au chama?
HAPA YAWEZEKANA KUNA MAWILI MATATU;
1.Kuchochea mgogoro ndani ya CUF ili chama kipasuke vipande vipande CCM kupenya vizuri?
2.Kwenda kuvuruga UKAWA ambao wameendelea kua wamoja?
3.Kujua nini kinaendelea ndani ya chama hasa kuhusu mgogoro wa Zanzibar kwa manufaa yake binafsi au chama?