Kwanini CCM ni wabishi na waongo?

Kwanini CCM ni wabishi na waongo?

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,475
Nakumbuka kabla hatujatangaziwa na serikali kwamba Kigoda kafariki, habari zilisambaa mitandaoni kwamba kafariki ila zilikanushwa, haya ikaja ya jana hiyo kwamba watu wamepata ajali, pia ikakanushwa.

Halafu masaa kadhaa baadae inatangazwa kwamba ni kweli ,sasa kwa nini kila kitu hawa mabwana wanakanusha harafu baadae wanakubali?

Maajabu ya dunia haya.
 
Nakumbuka kabla hatujatangaziwa na serikali kwamba Kigoda kafariki,habari zilisambaa mitandaoni kwamba kafariki ila zilikanushwa,haya ikaja ya jana hiyo kwamba watu wamepata ajali,pia ikakanushwa,halafu masaa kadhaa baadae inatangazwa kwamba ni kweli ,sasa kwa nini kila kitu hawa mabwana wanakanusha harafu baadae wanakubali? Maajabu ya dunia haya

...ni sababu ya LAANA...hata Nyerere walikanusha kuwa amekufa walisema ni uzushi
 
Kama ungekuwa kiongozi wa serikali lazima utambue umuhimu wa kuthibitisha ukweli wa habari au taarifa fulani kwa umma kabla ya ku confirm.namaanisha kwamba tukio linaweza kuwa kweli au uwongo ila kukanusha ni kwa public interest mpaka itakapothibitika ndipo uikubali na kutoa ufafanuzi.Mf.taarifa za CDF kupewa sumu hazikuwa za kweli so lazima ukanushe kwanza kama hakuna taarifa za kutosha kwa tukio hilo.
 
Back
Top Bottom