Tangu iundwe CCM-chama cha mafisadi,kimejaribu kuua upinzani,ili kuendelea madarakani na kudanganya watu.
Ni pesa ngapi toka NPF and NSSF zimechotwa kwa ajili ya kuiendesha CCM!
Nchi yetu imeoza,hata mtu wa kumkimbilia kulinda maslahi !Rais hawezi kufanya lolote,atamaliza muda wake na kuwa na trip kila siku za kuja Ulaya.
Namkumbuka Mkapa ,alikuja hapa UK ,ilikuwa wakati wa Tony Blair,kuhusu masuala ya Third Wolrd.Walimhoji kwenye TV,akasema sio wote marais wa afrika wanaiba hela na kuweka ulaya.Niliposikia scandal zako ,nilishangaa sana.Tukumbuke Nyerere ndio alimchagua Mkapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
Hapa Uk,kuna baadhi ya mafisadi mamefanikisha kufungua matawi ya CCM!You cant believe mtu yuko Ulaya bado anaishabikia CCM!Nafikiri ni njia ya hawa jamaa kujipenyeza CCM ili wakirudi nyumbani wapate direct contacts.
Tunakwenda wapi jamani?Baraza la mawaziri na Wabunge wengi wana fake Phd ,nafikiri ni nchi pekee duniani ina cabinet na wabunge wenye fake Phds!Hata kwenye Jumuia ya East Afrika,tuna wabunge 2 wote wanf fake Phd!Aibu jamani!