BondJamesBond
Member
- Jul 6, 2011
- 85
- 60
Hivi vyama vya siasa vinapata pesa za serikali/wananchi hivyo katika hali ya kawaida tuligemea CAG na ofisi yake iliyotukuka wangekuwa wanakagua mahesabu ya hivi vyama na kuweka taarifa zote za ukaguzi hadharani
sasa kinaendelea nini mbona hationi hizi taarifa za hivi vyama (ccm NA upinzani)
samahani kama nitakuwa nimewaudhi kwa kuuliza
sasa kinaendelea nini mbona hationi hizi taarifa za hivi vyama (ccm NA upinzani)
samahani kama nitakuwa nimewaudhi kwa kuuliza