Conservator
Member
- Jun 26, 2017
- 79
- 110
Wakuu Habari.
Nimetembelea tovuti za kampuni maarufu za kuagiza magari kutoka Japani kama Beforward, SBT, AUTOCOM na AUTOREC.
Kote huko nimeona miongoni mwa magari ya kampuni ya BMW (X3 naX5) ambayo wameyalist kama yanayonunuliwa sana.
Lakini mimi nimevutiwa na X1 ambayo pia hata bei zake sio kubwa sana.
Naomba kujuzwa zaidi juu gari hii ya BMW X1 hasa model ya 2010 mpaka 2012 au kwa ujumla.
Nimetembelea tovuti za kampuni maarufu za kuagiza magari kutoka Japani kama Beforward, SBT, AUTOCOM na AUTOREC.
Kote huko nimeona miongoni mwa magari ya kampuni ya BMW (X3 naX5) ambayo wameyalist kama yanayonunuliwa sana.
Lakini mimi nimevutiwa na X1 ambayo pia hata bei zake sio kubwa sana.
Naomba kujuzwa zaidi juu gari hii ya BMW X1 hasa model ya 2010 mpaka 2012 au kwa ujumla.