Kwa mtazamo wangu mimi, tabia nyingi watu wamerithi kwa wazazi yani ziko ndani ya damu, pia tabia za mtu zinatokana na mtu amesikia nini, ameona nini na anafanya au kufanyiwa nn mara kwa mara.. na kunatabia ziko ndani yamtu zimepooa sana uwezi zijua ila kuna hali au mazingira au vitu vinaweza kuboost hizo tabia zikaonekana kwahyo unaweza zani mtu kabadili tabia kumbe ilikua huko ndani imelala...