Baber(AKKADIAN).
kila Aina ya Matambiko yalifanyika hapo ili kufungua geti la mbinguni.
ulozi/ushirikina wa Kiwango cha juu vilifanywa hapo.
so,matambiko hayo yangelitimia uenda finaly wangeliweza kuingia mbiguni.na Mungu kuona hivyo akawachafulia lugha mapema Kabla hawajafikia lengo.
ndiyo maana ilo eneo(akkadian)linaitwa geti la mbinguni.