mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 3,257
- 4,466
Wakuu kwanza naanza kwa kudeclare kweli mimi ni mkristu na ninaabaudu na kusadiki kanisa Takatifu katoliki la Mitume
Toka uchaguzo umeanza umeisha yaliyojitokeza wakati na baada ya uchaguzi wote tumeona na kwa namna moja ama nyingine tunaona tumeguswa kila namna hata kama sio ya moja kwa moja!!
Hivi hili suala limekuwa linanitatiza sana hasa karibia katia Platforms zote huko mitandaoni na baadhi ya Watu ninaokutana nao mtaan
Ikumbukwe eneo ninaloishi kuna jamii kubwa sana ya hawa ndugu zetu wa Ijumaa.
Kwanini hawa watu wamekuwa wakilaani sana maandamano kupinga kwa nguvu zote, kukosoa na kupinga matamko yote yanayotolewa na TEC baadhi ya Taasisi za kikristu na Asasi mbalimbali hasa pale wanapokuwa wakipinga na kuikosoa GvT, hawa watu wamwkuwa wakichukua nafasi ya kuilinda na kuitetea GvT!?
Mfano mwepesi tuliona juzi hapa TEC walitoa waraka wao ila walijitokeza Masheikh, Maostaadhi, Maimamu na Maamuma zaidi ya 565 kupinga kwa nguvu zote huo waraka!?
Leo ukiingia mitandao ya kijamii kusoma kusikiliza ama kutizama maoni binafsi ya Fr Kitima wanaokosoa kupinga na kuja na hoja kinzani kwa maoni yake wengi kama sio wote ni jamii ya ijumaa kipi kipo nyuma ya hili
Toka uchaguzo umeanza umeisha yaliyojitokeza wakati na baada ya uchaguzi wote tumeona na kwa namna moja ama nyingine tunaona tumeguswa kila namna hata kama sio ya moja kwa moja!!
Hivi hili suala limekuwa linanitatiza sana hasa karibia katia Platforms zote huko mitandaoni na baadhi ya Watu ninaokutana nao mtaan
Ikumbukwe eneo ninaloishi kuna jamii kubwa sana ya hawa ndugu zetu wa Ijumaa.
Kwanini hawa watu wamekuwa wakilaani sana maandamano kupinga kwa nguvu zote, kukosoa na kupinga matamko yote yanayotolewa na TEC baadhi ya Taasisi za kikristu na Asasi mbalimbali hasa pale wanapokuwa wakipinga na kuikosoa GvT, hawa watu wamwkuwa wakichukua nafasi ya kuilinda na kuitetea GvT!?
Mfano mwepesi tuliona juzi hapa TEC walitoa waraka wao ila walijitokeza Masheikh, Maostaadhi, Maimamu na Maamuma zaidi ya 565 kupinga kwa nguvu zote huo waraka!?
Leo ukiingia mitandao ya kijamii kusoma kusikiliza ama kutizama maoni binafsi ya Fr Kitima wanaokosoa kupinga na kuja na hoja kinzani kwa maoni yake wengi kama sio wote ni jamii ya ijumaa kipi kipo nyuma ya hili