Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,175
- 45,898
Mbna abdu kiba ana kipaji,though sisikilizag kabsa bongo flavor mpk nkute mtu anasikiliza,mm nadhan kn sabab tu nyngn inayomfny kiba asim support dgo
Kaka mtu mwenyewe mpka asubiri kiki zke chibu ndio atoe wimbo mmoja ndani ya mwaka mzimaUsanii ni kipaji. Kama hana kipaji na nyota pia zero amsaidie kwa lipi?
Naona umeamua kuziweka pembeni akili zakoYeye mwenyewe Ally Kiba anahitaji Msaada
Naona umeamua kuziweka pembeni akili zako
Kituko ni kituko tu mantinki ya comment zako ni ZeroZako ziko katikati, mwambie basi Ally Kiba amsaidie Abdul
Kituko ni kituko tu mantinki ya comment zako ni Zero
anaweza kumpa supporthahahahaahahahaha Yeye mwenyewe hawezi kujisaidia anajiita kipusa....atamsaidia mdogo ake pasua kichwa?
watu wanabebanaMbona joh Makin kamsaidia sana nikki wa pili
ha ha hahAmsaidiaje wakati mwenyewe ameshindwa kujisaidia saivi anapumuliwa na ommydimpozi
mirad ipiLabda anasimamia miradi ya kaka yake.