R renamaizo JF-Expert Member Oct 17, 2014 2,118 3,004 Nov 10, 2021 #21 Ukiwa maskin lazima uitwe mqjina ya ajabu ukiwa mnene hunq hela utaitwa bonge Ukiwa na kichwa utaitwa bichwa nk
Ukiwa maskin lazima uitwe mqjina ya ajabu ukiwa mnene hunq hela utaitwa bonge Ukiwa na kichwa utaitwa bichwa nk
wa stendi JF-Expert Member Jul 7, 2016 24,688 26,797 Nov 10, 2021 #22 Haya_Land said: Kwani ukiwa mrefu na huna Hela lazima uitwe "Tolu" Click to expand... Kwa sababu unakuwa umekonda muonekano unarefuka mwenge njaa
Haya_Land said: Kwani ukiwa mrefu na huna Hela lazima uitwe "Tolu" Click to expand... Kwa sababu unakuwa umekonda muonekano unarefuka mwenge njaa
wa stendi JF-Expert Member Jul 7, 2016 24,688 26,797 Nov 10, 2021 #23 adden said: Hahahah mi naitwa waiti je sbb sina hela?? Click to expand... Wewe jua limekuadhiri
Mother Confessor JF-Expert Member Jan 7, 2016 18,596 45,225 Nov 10, 2021 #24 Sasa kama tolu ni hana hela,ngongoti je..!??
Shin Lim JF-Expert Member Mar 27, 2012 7,022 12,534 Nov 10, 2021 #25 Jerlamarel said: Mudi. Mwamedi. Mmoja hapo ana pesa mwingine hana Click to expand... hapo wote choka mbaya ila kuna mmoja ana unafuu. Mwenye hela anaitwa Mo.
Jerlamarel said: Mudi. Mwamedi. Mmoja hapo ana pesa mwingine hana Click to expand... hapo wote choka mbaya ila kuna mmoja ana unafuu. Mwenye hela anaitwa Mo.
mtingi1 JF-Expert Member Mar 21, 2020 945 923 Nov 11, 2021 #26 Mimi naitwa biggie sijui ipoje pia wakuu
dronedrake JF-Expert Member Dec 25, 2013 23,220 54,880 Nov 11, 2021 #27 Jerlamarel said: Mudi. Mwamedi. Mmoja hapo ana pesa mwingine hana Click to expand... hahahahaha
dronedrake JF-Expert Member Dec 25, 2013 23,220 54,880 Nov 11, 2021 #28 mtingi1 said: Mimi naitwa biggie sijui ipoje pia wakuu Click to expand... biggie mwenye mpunga, kapuku anaitwa bonge
mtingi1 said: Mimi naitwa biggie sijui ipoje pia wakuu Click to expand... biggie mwenye mpunga, kapuku anaitwa bonge