Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,941
- 1,011
Nimekuwa mara nyingi nasoma na kusikia watu mbalimbali wakisema kitu ambacho sikubaliani nacho labada mnijulishe vinginevyo kuwa "CCM imetutawala miaka 49 ama CCM imetutawala toka UHURU hadi sasa". Nani kathibitisha kuwa kauli hiyo ni ya kweli?
Ninachojua na ambacho ni UKWELI ni kuwa CCM ilizaliwa 5/2/1977 baada ya kufa rasmi(kuunganishwa) ASP na TANU. Je! Toka 1977 hadi leo ni miaka mingapi?
Hivi mmi nikiwa ni mgogo ambaye mama yangu ni mkaguru aliyechanganya damu ya mgogo(bibi) na mhehe(babu) na ikiwa wakati nazaliwa baba alikuwa na miaka 25 na sasa nina miaka 24, je! inamaanisha mimi ni mgogo kwa miaka 49?
Huo ninauita uongo wa CCM ilikionekane kuwa ni chama kilichotukuka kwa kukaa madarakani miaka mingi. Maana hata leo nikaamua kumuuliza KIngunge N Mwiru umekuwa mwanachama wa CCM kwa miaka mingapi? Akinijibu, kipumbavu, atasema kwa miaka 49 lakini , kwa hekima, atasema miaka 33.
Nawasilisha.
Ninachojua na ambacho ni UKWELI ni kuwa CCM ilizaliwa 5/2/1977 baada ya kufa rasmi(kuunganishwa) ASP na TANU. Je! Toka 1977 hadi leo ni miaka mingapi?
Hivi mmi nikiwa ni mgogo ambaye mama yangu ni mkaguru aliyechanganya damu ya mgogo(bibi) na mhehe(babu) na ikiwa wakati nazaliwa baba alikuwa na miaka 25 na sasa nina miaka 24, je! inamaanisha mimi ni mgogo kwa miaka 49?
Huo ninauita uongo wa CCM ilikionekane kuwa ni chama kilichotukuka kwa kukaa madarakani miaka mingi. Maana hata leo nikaamua kumuuliza KIngunge N Mwiru umekuwa mwanachama wa CCM kwa miaka mingapi? Akinijibu, kipumbavu, atasema kwa miaka 49 lakini , kwa hekima, atasema miaka 33.
Nawasilisha.