Ni yenyewe yale ,ila hayajatolewa na TCU rasmi ,kule wamevujisha tu ,ndyo maana hakuna hata m1 alieona changes kwenye profile yake ,tutafute mambo ya kufanya kipindi hk cha kusubiri post ,msiziwazie sana muda ukifika mambo yote yatakuwa hadharani humu humu!!