Kwani mashekhee mnasimama upande gani?

Kwani mashekhee mnasimama upande gani?

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
1,412
Reaction score
5,151
Kufuatia muendelezo wa taharuki ya kisiasa nchini, makundi mbalimbali ya kijamii ikiwemo serikali yamejitokeza na kuonyesha misimamo Yao

Serikali wao wamesema wanataka amani, wananchi pamoja na maaskofu wote wanasimaa upende wa Haki.

Lakini mashekhee nyinyi humueleweki kama mnataka HAKI, AMANI AU UBWABWA/WALI /UBWECHE?
 
Wao wanataka kukata vichwa vya tutakaondamana D9
 
Hao wanapelekeshwa hovyo tu .... kisa ten ten , na ubwabwa !!!!! Wale viongozi wao top walishalamba asali kitambo
 
Wananchi wanataka haki, serikali inataka amani, mashehe hawaeleweki wanataka nini amani, haki, au wali.
 
Mie naona masheikh wako upande wa serekali kuhimiza amani
Sasa mbona tunaona muda wote wanawashambulia TEC na kutoa vitisho kwa waandamanaji kama kusema watakata watu vichwa?

Halafu serikali wao hawahimizi amani bali wameshatangaza vita kwa wanaoona ni wavunja amani kwa mtazamo wao.
 
Masheikh wamejipa usemaji wa serikali. Ikiulizwa serikali wanatoq majibu wao yaani wanaitetea serikali bila kupima uzito wa hoja za wanaoitaka serikali ijibu hoja juu ya mambo ya msingi.
 
Masheikh wamejipa usemaji wa serikali. Ikiulizwa serikali wanatoq majibu wao yaani wanaitetea serikali bila kupima uzito wa hoja za wanaoitaka serikali ijibu hoja juu ya mambo ya msingi.
Hawana tofauti haji manara
 
Unafki unaonekana wazi kwa hawa mashee...
Waslamu wengi tu wamekufa,wengine hata bila hatia wamefuatwa makwao, hilo pia HAWAJALI?

Wasituchoshe!
 
Haki na amani tunavitaka, samia ni mwisalam mwenye haki ya kuwa rais wa tz kama ilivyokuwa haki kwa mkristo magufuli kuwa rais wa tz!!
 
Back
Top Bottom