yolk
Senior Member
- Jan 29, 2017
- 137
- 240
Hii tabia mnayo sana nyie wanawake, ndio maana huwa mnaumizwa sana na mapenzi na kutuona sisi wanaume kama letu ni moja. Msela kakuona unavyovutia tamaa zikamuingia, akakusimamisha barabarani, ukaanza kuimbishwa, ukauelewa mziki, kesho, kesho kutwa ukazidi kudata kwa mshikaji, siku inayofuata unaanza kuuliza mipango ya kukuoa.
Na yeye ili asikuvunje moyo anakupa ahadi kemkemu za kukuoa ili mradi akione kilicho ndani ya hilo dera lako, jinsi mlivyo kama manyumbu mnaamini na kuanza kutangaza anataka kukuoa hadi kwa mashosti zenu (muda mwingine hadi kwa ndugu kabisa)
Akishakuvua bikini tu, zile tamaa zake zinayeyuka, anarudi kando ya barabara kuwinda mwingine..
Jifunzeni kutambua malengo ya mahusiano, sio kila mwanamme anaweza kuwa mume, wala kila mwanamke kuwa mke..
wengine wapo kwa ajili ya kugegedana tu.
Na yeye ili asikuvunje moyo anakupa ahadi kemkemu za kukuoa ili mradi akione kilicho ndani ya hilo dera lako, jinsi mlivyo kama manyumbu mnaamini na kuanza kutangaza anataka kukuoa hadi kwa mashosti zenu (muda mwingine hadi kwa ndugu kabisa)
Akishakuvua bikini tu, zile tamaa zake zinayeyuka, anarudi kando ya barabara kuwinda mwingine..
Jifunzeni kutambua malengo ya mahusiano, sio kila mwanamme anaweza kuwa mume, wala kila mwanamke kuwa mke..
wengine wapo kwa ajili ya kugegedana tu.