Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
jaribu mwambie mbinu niliyotumia mm kukupata.
Mwambie aje pm nimmegee siri
jaribu mwambie mbinu niliyotumia mm kukupata.
Mwambie aje pm nimmegee siri
mmmmh! Huko pm huko hapana akanifanyia mapinduzi... Usije ukaniapa vidonda vya tumbo bure
Jamaa alikuwa karibu sana na demu kama miaka mitatu hivi ukaribu ambao tafsri yake kwa jamii ni wapenzi.
Sasa rafiki yake wa karibu kaomba game then kapewa...jamaa akanyaka huo mchezo,povu likamtoka na urafiki ukakoma
Demu naye kajua mzozo uliopo baina ya hawa marafiki wawili.
Sasa demu analalama, aulizwe kama kwa kipindi chote hicho tulichokua karibu alishawahi omba game nikamnyima? Anasisitize,nimeshinda naye mara nyingi getho kwke lakini hajawahi nitongoza sasa mwenzake kanitongoza nimempa,sasa anakuwa na wivu wa nini?
Ushauri
Ukiwa na demu karibu kama unampenda hakikisha unamtongoza, vinginevyo kama wewe domo zege, utabaki kuwa mshka pembe wakati wenzako wanakamua maziwa.