
Inye nti robot, Iwe ni njanguIwe robot la matope oleke mbaile omubazi ne ekiti.
Wantulaki kandi. Waitu ninsima muno.
Ingia kwenye website Yap chukua email yao watumie! Hata akiwepo humu hawezi kukujibu hapa, Sana Sana watakuja hao watuhumiwa wajifanye ndiyo Diwani Kisha watake majina na hakuna lolote litakalo fanyika! Pccb wako active ukiwatafuta!
Askari wale wa barabara njia ya mikumi-Mahenge wanakula rushwa mnooooo
Raia watasema una chuki nao....
Mkuu kwa enzi hizi bado unaogopa kuandika ukweli? Weka majina hapa wenye ujasiri wayafikishe viinginevyo utaonekana unapiga majungu tu.Mhe. Diwani Athumani sitanii na wala sina mchezo. Kuna vijana wako tabia yao imezidi. Lakini pia kwanini mtumishi anakaa kituo kimoja zaidi ya miaka 3 yaani hata anajulikana ni balaa. Kuna watu huku washajiona miungu watu. Nawafahamu kwa majina yao hadi nyumba wanazoishi. Mali wanazo miliki husipime. Nisaidie mzee nikupe orodha yao.
Halafu huu ni ushamba kwenye mjadala kuweka kilughaWantulaki kandi. Waitu ninsima muno.