Kwako Mh. Ndalichako, Joyce.

Kwa hyo ww braza hujawah kuona watu wanapiga form 5 na 6 kwa mwaka mmoja na mwisho wanapiga pepa kama PC? Watu kibao wanafanya hvyo kusave muda na pesa,,,, em pitia majina ya Udsm ya mwaka huu usipokutana na watu waliomaliza mwaka 2014

Ahsante kwa kumuelewesha huyu jamaa.
 
Tumia Elimu yako kutoa ushauri wenye maana na tija
 
Hilo nalo neno!!
 
Pole Sana jamaa, wewe ni mwanaume hutakiwi kukata tamaa, umeshapambana na bado mapambano yanaendelea. Chukua docmt zako zote, nenda bodi ya kikopo. Km uliomba na document ulisubmit naamini watakuelewa
 
Pole Sana jamaa, wewe ni mwanaume hutakiwi kukata tamaa, umeshapambana na bado mapambano yanaendelea. Chukua docmt zako zote, nenda bodi ya kikopo. Km uliomba na document ulisubmit naamini watakuelewa

Ahsante, jumatatu Mungu akinijaalia uhai nitaenda Bodi ya Mikopo kupata kuwaeleza
 
Tumia Elimu yako kutoa ushauri wenye maana na tija
HUjitambui kinachokusumbua ni ulimbukeni. Kama haufahamu vitu ni bora ukanyamza, nyie ndio mnajazaga hoja humu za ubishi wa kipuuzi na ufahamu unaloongea.

Tambua maana ya school candidate ni nini kwanza?
Huyo jamaa hakusoma ktk mtiririko aliseat mtihani bila mtiririko wa shule sahihi akafanya mtihani mwaka mmoja na ndio maana hakupata mkopo. Wengi wanalalamikia serkali lkn hawafahamu mapungufu waliyonayo wenyewe.
Hapo akitaka akajisomeshe mwenyewe, lkn serkali hawawezi mpa consideration kwa kuwa hakufuata utaratibu.

Haya wewe mwenye elimu leta hoja zako za kielimu
 
Kwa hyo ww braza hujawah kuona watu wanapiga form 5 na 6 kwa mwaka mmoja na mwisho wanapiga pepa kama PC? Watu kibao wanafanya hvyo kusave muda na pesa,,,, em pitia majina ya Udsm ya mwaka huu usipokutana na watu waliomaliza mwaka 2014

Nafahamu sana wapo wengi na ilikuwa inafanyika kimakosa, hata wengi walikuwa wanasoma QT na f4 for 2 yrs wanafanya mtihani wa f4 wanaomba vyuo vya ualimu wanasoma private wanafanya mtihani naelewa. Hii ilishagundulika mapema, na kuna weakness, kuna matatizo mengi, ila kwa sasa haya mapungufu wanayafuatilia.

Anyway, ukiona ni sahihi,fuata hii ila wenzako wengi waulize kama baadae wanapata kazi na kama hawakwami Mbele kwenye oppourtunities wanapokuja kulinganishwa na wenzao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…