Mh.Mbunge Ni matumaini yetu uumzima wa afya njema! Sisi wananchi wa Chanika Mjeule tunaomba kujengewa daraja kwenye bonde la kuelekea Kisarawe! Ni adha kubwa Sana tunaipata kipindi cha mvua! Watoto wanashindwa kuvuka kwenda Shule,watu wakubwa huvua nguo kwani maji hufika mpaka kiunoni!
Tunaomba utukumbuke kupata daraja Mh.Mbunge wetu! Ni hayo tu.
Tunaomba utukumbuke kupata daraja Mh.Mbunge wetu! Ni hayo tu.