Barcelona yamfuta kazi Xavi Hernàndez

Chance ndoto

JF-Expert Member
Mar 8, 2017
3,361
8,082
Aliyekuaa kocha wa Miamba ya Hispania, Xavi Hernàndez leo asubuhi ameachishwa kazi na rais wa Miamba hiyo Joan la Porta imeripotiwa Xavi na mchezaji muhimu wa zamani wa barcelona hatokua tena pale shimoni katika msimu ujao.

KWAHERI XAVI.
Screenshot_20240524-150928~2.png
 
Aliyekuaa kocha wa Miamba ya Hispania, Xavi Hernàndez leo asubuhi ameachishwa kazi na rais wa Miamba hiyo Joan la Porta imeripotiwa Xavi na mchezaji muhimu wa zamani wa barcelona hatokua tena pale shimoni katika msimu ujao.

KWAHERI XAVI.
View attachment 2998171
Hao ""BASA" wahuni. Jamaa alitangaza kuondoka, wakam'bembeleza abaki, akaamua kubaki, wamemtimuaa! Ni trick nzuri. Ukigundua mpenzio kuna dalili ya kukumwaga, jitahidi um bwage weweeee!
 
Xavi zile hasira katoa wapi 😆, hatulii kabisa mda wote kusimama,,, nadra sana ufundi wa ground kuhamishia pale benchini,
 
Back
Top Bottom