Chance ndoto
JF-Expert Member
- Mar 8, 2017
- 3,361
- 8,082
Aliyekuaa kocha wa Miamba ya Hispania, Xavi Hernàndez leo asubuhi ameachishwa kazi na rais wa Miamba hiyo Joan la Porta imeripotiwa Xavi na mchezaji muhimu wa zamani wa barcelona hatokua tena pale shimoni katika msimu ujao.
KWAHERI XAVI.
KWAHERI XAVI.