Kwaheri January

Kwaheri January

Two dimension array

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2018
Posts
1,592
Reaction score
2,381
MAMBO KUMI(10 ) NILIYOJIFUNZA JANUARY

1. Kumbe waweza shinda njaa bila kufa.

2.Kumbe waweza beba chakula na kwenda nacho kazini.

3. Bila boda, Bila bajaj unaweza tembea na kufika Kazini.

4. Tafadhali nipigie ni huduma ya msingi

5.Nyama ni mbaya kwa Afya yako.

6. Jiko la mkaa linapika chakula kizuri sanaa.

7. Kumbe ukisaga Mahindi yasiyokobolewa yanatoa unga safii
8.Maji ya kuchemsha ni matamu na mazuri sana zaidi ya Dasani.

9. Waweza kula ugali kama kifungua kinywa( breakfast)

10. Ukioga na sabuni ya Kipande, bado utakuwa msafi. ASANTE JANUARI.
Well played January
Well played.

Welcome February please be kind to us.



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom