Hilo ni miongoni mwa malalamiko yangu. Ila pia kuna hoja ya viporo 11. Kama simba ilihitaji muda kujianda na hiyo michezo ya kimataifa na kuamua kutelekeza ligi, ilikuwaje wakacheza sportpesa na mapinduzi?Yanga waliomba wasicheze game zao away kwasababu walikua hawana pesa, mfano yanga ilibidi yanga aanze na mtibwa morogoro yanga wakaomba ipigwe Dar, hivyo hivyo kwa mwadui na Coastal Union sasa ratiba zinawabana mbeleni mnaanza kulalamika.
Simba tumecheza na Js saoura jumamosi na jumapili tukacheza fainali tukapoteza na hatujalalamika. Hakuna masuala ya bodi hapa vyura hamjui mpira shame on you!!!
Mkuu hapa una hoja!Hilo ni miongoni mwa malalamiko yangu. Ila pia kuna hoja ya viporo 11. Kama simba ilihitaji muda kujianda na hiyo michezo ya kimataifa na kuamua kutelekeza ligi, ilikuwaje wakacheza sportpesa na mapinduzi?
Bado TFF na ligi yao ni wababaishaji tu na hakuna mpira hapo bali maigizo tu.
Kuhusu hiyo michezo 11 katika uwanja mmoja, tatizo ni TFF na bodi ya ligi. Kinachotakiwa kufuatwa ni kanuni za ligi na sio matakwa ya timu
Mikia aka mbumbumbu fc,Yanga waliomba wasicheze game zao away kwasababu walikua hawana pesa, mfano yanga ilibidi aanze na mtibwa morogoro yanga wakaomba ipigwe Dar, hivyo hivyo kwa mwadui na Coastal Union sasa ratiba zinawabana mbeleni mnaanza kulalamika.
Simba tumecheza na Js saoura jumamosi na jumapili tukacheza fainali tukapoteza na hatujalalamika. Hakuna masuala ya bodi hapa vyura hamjui mpira shame on you!!!
Ila tuweke akiba ya maneno. Uzuri tunaomba Azam TV wawe fare kwenye kurusha matangazo. Ila naona dalili za baadhi ya Timu na TFF yao kupelekwa Takukuru.kausha mkuu, ninyi yanga mlitangulia na gari la mabox limeanza kunyeshewa mvua sasa linatepeta.
Simba atacheza kila baada ya siku tatu tafuta ratiba yake ndipo uanze kulalamika.
Hii ratiba inambeba azam zaidi
Kweli Yanga ndo mana ni ombaomba Fc, sasa sababu Yanga ameanza kupata matokeo mabovu ndo mana mmeanza kulalamika, mlikua wapi kusema haya kipindi timu yenu inashindaWasalaam!
Kwa wapenda michezo wote wa Tanzania. Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) ndilo limepewa dhamana ya kusimamia mpira wa miguu Tanzania kwa usawa na haki. Lakini kwa hali halisi na nikichukulia mfano hii ligi yetu bado TFF na wadau wa mpira (bodi ya ligi) wana kazi kubwa sana.
Ligi yetu inaonekana kutokuwa na maana hasa pale ushindani unapoonekana dhahiri kuzibeba baadhi ya timu na kuonea timu nyingine. Leo nimeamua kufuatilia mwenendo wa ligi nikashangaa sana kuona timu moja ina viboro 11. Tangu nizaliwe sijawahi kuona ligi ya namna hiyo.
Kwa mantiki hii sioni haja ya kuiita ligi maana kuna timu zinachoka wakati nyingine zinarelax tu. Ajabu nyingine ni kuona kuna timu moja imepangiwa mechi mfululizo 11 katika uwanja mmoja jambo ambalo linaondoa hadhi ya ligi. Kwa mantiki hii kuna haja gani ya kuwa na bodi ya ligi au shirikisho la mpira wa miguu kama.mambo yanaachwa yaende hivi?
Inakuwaje timu moja inasafiri mikoa karibia sita ndani ya wiki moja kucheza mechi tofauti ukichukulia hali halisi ya barabara zetu na ligi kukosa mdhamini?
Inakuwaje viongizi wa mpira wa miguu hawaoni haja ya kutengeneza uwiano sawa wa ushindani kwenye ligi ilihali wanajua kuwa ni kosa kisheria kwani inaleta malalamiko na kukatisha tamaa baadhi ya timu?
Nawaomba TFF waache siasa waangalie mpira wa Tanzania.
Al ahly ya Misri ilicheza na Simba jumamosi lakini jana imecheza mechi ya ligi. Ni kitu gani kinazuia Simba kucheza game zake? Na kwanini iwe mwaka huu tu wakati simba inashiriki kimataifa?
Je kama timu zikilalamikia yatakayotokea kwenye mechi za viporo ikifikia kuleta tuhuma za rushwa TFF watakwepaje huo mtego?
Naomba sana wadau wa mpira wa miguu waliangalie hili jambo kwa jicho la tatu la sivyo mpira wetu utakuwa wa hovyo hovyo mpaka mwisho.
Sioni haja ya kuwa na chama cha mpira wa miguu wala bodi ya ligi bali kilichopo ni ubabaishaji na uonevu kwa baadhi ya timu.
Shame on you TFF
Sio kwamba mm ni mshabiki wa yanga wala nini. Nataka tuweke mambo sawa ili ligi yetu iwe na hadhi. Sijui ni kwanini TFF na bodi ya ligi wanakubali upuuzi kama huu. Huwezi kuwa na ligi timu moja ina viporo 11. Wapi uliona hili ndugu yangu?Kweli Yanga ndo mana ni ombaomba Fc, sasa sababu Yanga ameanza kupata matokeo mabovu ndo mana mmeanza kulalamika, mlikua wapi kusema haya kipindi timu yenu inashinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ka si mpenzi wa Yanga subiri ligi imalizike tupeleke malalamikoSio kwamba mm ni mshabiki wa yanga wala nini. Nataka tuweke mambo sawa ili ligi yetu iwe na hadhi. Sijui ni kwanini TFF na bodi ya ligi wanakubali upuuzi kama huu. Huwezi kuwa na ligi timu moja ina viporo 11. Wapi uliona hili ndugu yangu?
Si kweli ratiba ilikuwa Yanga aanzie kanda ya ziwa..Amunike akawaita wachezaji starsYanga waliomba wasicheze game zao away kwasababu walikua hawana pesa, mfano yanga ilibidi aanze na mtibwa morogoro yanga wakaomba ipigwe Dar, hivyo hivyo kwa mwadui na Coastal Union sasa ratiba zinawabana mbeleni mnaanza kulalamika.
Simba tumecheza na Js saoura jumamosi na jumapili tukacheza fainali tukapoteza na hatujalalamika. Hakuna masuala ya bodi hapa vyura hamjui mpira shame on you!!!