naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,435
Samahani sana waungwana nipo hapa kwa ajili ya kumtafta jamaa moja ambaye simfahamu lkn katika pitapita zangu juzi nikiwa kwenye gari nilikuta bahasha yenye ACADEMIC CERTIFICATE ambayo ilikua na jina la LUSHINGE MATHIAS, shule aliyotoka pameandikwa TEGERUKA SEC SChool,tafadhalini Sana wana jukwaa kwa yeyote Anayemjua huyu jamaa naomba amjulishe anitafte PM
Onyo:- Asiyehusika tusisumbuane
Pia samahani sana kwa wote ambao nitakua nimewaboa.
Onyo:- Asiyehusika tusisumbuane
Pia samahani sana kwa wote ambao nitakua nimewaboa.