Nuran Jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 273
- 234
Poleni na kazi wakuu..nnamdogo wangu ameitwa kwa ajili ya Interview siku ya jumanne ameniomba nimfanyie rehersal kidogo...sina uzoefu na maswali wanayouliza kwenye Interview...
NB. Interview inahusiana na kazi usambazaji na uafisa masoko wa magazeti kwenye kampuni ya inayochapisha magazeti..ilimuhitaji kijana mwenye shahada ya kwanza ya Biashara
Naomba mwenye uzoefu anieleweshe niblash mdogo wangu
NB. Interview inahusiana na kazi usambazaji na uafisa masoko wa magazeti kwenye kampuni ya inayochapisha magazeti..ilimuhitaji kijana mwenye shahada ya kwanza ya Biashara
Naomba mwenye uzoefu anieleweshe niblash mdogo wangu