Kwa wenye ufahamu na hili

Kwa wenye ufahamu na hili

MSERy

Member
Joined
Jan 10, 2022
Posts
66
Reaction score
121
Habari wana jukwaa la Elimu,

Nisiwe na maneno mengi sana, ningeomba kujua sifa zipi hutumika kujenga chuo cha ngazi ya chuo kikuu, iwe mjini au katika mji mdogo. Je, fedha na mali pia huzingatiwa kama sifa kwa mamlaka husika?

Kwa lugha rahisi, ningependa kujua sifa za kuanzia chuo kikuu nchini Tanzania. Sijui mengi kuhusu suala hili, hivyo natarajia msaada kutoka kwenu.

Karibuni sana wanajukwaa.
 
Habari wana jukwaa la Elimu,

Nisiwe na maneno mengi sana, ningeomba kujua sifa zipi hutumika kujenga chuo cha ngazi ya chuo kikuu, iwe mjini au katika mji mdogo. Je, fedha na mali pia huzingatiwa kama sifa kwa mamlaka husika?

Kwa lugha rahisi, ningependa kujua sifa za kuanzia chuo kikuu nchini Tanzania. Sijui mengi kuhusu suala hili, hivyo natarajia msaada kutoka kwenu.

Karibuni sana wanajukwaa.
Wanakuja kukupa mwongozo mkuu.
 
Population, demand vingine haviangalii yote hayo ukute ni mradi wa kanisa au donours
 
Back
Top Bottom