Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,053
Umbu maana yake nini?
Anhaadada......
UMBU=DADAUmbu maana yake nini?
Kama kulaaniwa ni mpaka kwenye kunyimana papuchi,, ulaaniwe mwenyewe mkuuNa alaaniwe binti atakaye ninyima papuchi.watu wote waseme na iwe
Hahaha na isiwe.mmeubwa kwa ajili yetu .kwa nini kunyimanaKama kulaaniwa ni mpaka kwenye kunyimana papuchi,, ulaaniwe mwenyewe mkuu
Sema na iwe
Kwahiyo unataka upewe tuuu bila utaratibu mkuuHahaha na isiwe.mmeubwa kwa ajili yetu .kwa nini kunyimana
Sasa ntakufaje na kiu baharini.njoo pm nifute chozi lako .na alaaniwe aliyekutoa machozi.sema na iweKwahiyo unataka upewe tuuu bila utaratibu mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] avatar yako tu inanitisha,, isije kuwa na pm nikakuta ukubwa huo huoSasa ntakufaje na kiu baharini.njoo pm nifute chozi lako .na alaaniwe aliyekutoa machozi.sema na iwe
Haha ni avatar wala usiogope.njoo uniambie.ntaloga aliyekuliza yani[emoji3] [emoji3] [emoji3] avatar yako tu inanitisha,, isije kuwa na pm nikakuta ukubwa huo huo
Alieniliza yuko lumumba,, utaweza kumloga kweli [emoji26] [emoji26] [emoji26] au unanipa moyo tuHaha ni avatar wala usiogope.njoo uniambie.ntaloga aliyekuliza yani
Hahahaha furaha yako ni yangu .ntaweza tu.nguvu ya uchawi ikiwa mdogo naenda NigeriaAlieniliza yuko lumumba,, utaweza kumloga kweli [emoji26] [emoji26] [emoji26] au unanipa moyo tu
Hiyo nauli ya kwendea nigeria si unipe tu baby, nikasuke nywele [emoji3] [emoji3]Hahahaha furaha yako ni yangu .ntaweza tu.nguvu ya uchawi ikiwa mdogo naenda Nigeria