Mbona ndogo Sana iyo,Hii sio chai kweli.....9ml kwa mwaka!!!
Hapana sio kweliMbona ndogo Sana iyo,
Wengine tukijitahimini tunazidi hapo
starehe ya ngono gharama Sana aisee
Ma j au??Binafs nnae mwanamke mmoja,
Yeye huwa hajipangi barabarani, ila naamini kabisa huwa ananiuzia ngono.
Maana pesa ikikosekana, utulivu wa mahusiano yetu huwa unapotea.
Namlipia Kodi,usafiri,chakula,luku na mengineyo mengi.
KIMAHESABU NAWEZA FIKA MIL 90 KWA MWAKA JAPO HUWA HATUENDI LODGE
Anakuuzia hiyo ndo Iko hivyoBinafs nnae mwanamke mmoja,
Yeye huwa hajipangi barabarani, ila naamini kabisa huwa ananiuzia ngono.
Maana pesa ikikosekana, utulivu wa mahusiano yetu huwa unapotea.
Namlipia Kodi,usafiri,chakula,luku na mengineyo mengi.
KIMAHESABU NAWEZA FIKA MIL 90 KWA MWAKA JAPO HUWA HATUENDI LODGE
Serious mkuu,Hapana sio kweli
AiseSerious mkuu,
Nmepitia matumiz ya mtoa mada kwa siku,
Nikaona anatumia pesa kdg Sana kwny ngono kulinganisha na Mimi.
Mwanaume yeyote anaedate na mdangaji anauziwa ngono, Basi TU wengi hujizima data.Anakuuzia hiyo ndo Iko hivyo
Sema uzuri ni kwamba anakuuzia wewe Kwa discount....afu unakua V.I.P flani amaizingMwanaume yeyote anaedate na mdangaji anauziwa ngono, Basi TU wengi hujizima data.
Serious mkuu,Aise
Sioni discount Apo,Sema uzuri ni kwamba anakuuzia wewe Kwa discount....afu unakua V.I.P flani amaizing
Sijamaanisha ivoMa j au??
Barabarani unapata u.t.i ya kiwango Cha changarawe hahaSioni discount Apo,
Nainunua kwa Bei kubwa Sana,
Tofauti ningekua namkuta barabarani Kama wenzie, sema barabarani nako jau Sana.
AnhaaSijamaanisha ivo
Nashkuru Mungu huyu mwanamke ninmsafi Sana, hajawai niambukiza hata muwashoBarabarani unapata u.t.i ya kiwango Cha changarawe haha
Kuna wazee WA kununua mixa....Nashkuru Mungu huyu mwanamke ninmsafi Sana, hajawai niambukiza hata muwasho