Kwa wasomaji wa vitabu

Maradonna

Senior Member
May 24, 2016
183
649
Kwa wale wasomaji wa vitabu tazama aina ya wasomaji hapo chini na useme wewe uko kundi gani kati ya hayo, miimi nipo kwenye Polygamist reader.
upload_2016-6-6_13-47-6.png
 
Safi na mpaka sasa ushasoma vitabu vingapi?
nimemaliza kimoja tu. Oblomov.

naendelea na The Origin of Species nimetoka nacho toka mwaka Jana. na Justine cha Marquis de Sade. oh I'm also a polygamist :)

been a lazy year.

what are you reading?
 
nimemaliza kimoja tu. Oblomov.

naendelea na The Origin of Species nimetoka nacho toka mwaka Jana. na Justine cha Marquis de Sade. oh I'm also a polygamist :)

been a lazy year.

what are you reading?
Hahahahah Kwa hiyo nifute jina lako kwenye list ya Introvert reader na niliweke kwenye Polygamist ama tuache liwe kote kote..Anyway nimesoma soma vingi ila kwa sasa napambana na The Dark Arena cha Mario Puzo pamoja na The Power of Positve Thniking cha Norman tatizo muda unapata dakika 3 ile unafungua kitabu tu hivu unasikia king'ora nje ya ofisi unakifunga chap ukijua ni Rais amekuja kukufanyia Ziara ya kushtukiza so hadi urude kwenye mood siku imeisha.
 
Safi sana mkuu mimi mwenyewe naenda na ile Calender ya siku huwa najitahidi nisipitwe na neno la siku, Mbali na biblia hakuna kitabu kingine unakisoma?

Nimesoma sana vitabu 'journals' kama 350 hivi kuhusu moto. A bit narcissistic reader
 
Back
Top Bottom