Kwa wanawake tu

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,779
Hivi ikatokea mtu ambae alikutoa bikira anarudi anakuomba mechi na unakuta umeolewa au una mpenzi wako.

Je, utampa mechi au utamtolea nje?

Zamani nlikua napata tetesi kua mwanamke ukimtoa bikira hata akaolewa ukimuomba mechi za ugenini anakupa.

Je, kuna ka ukweli wadau?
 
Hahahaha

Sio kihivyo aisee
Wanasahaulika kama ex yoyote...

Na wanatimuliwa kama ex yoyote

Yaani litoke huko lilikotoka liombe game apewe kwa kuwa tu alitoa bikira? Bado sana aisee....

Daah Umkimbize Alietoa Wavu!!??
 
Hahahaha

Sio kihivyo aisee
Wanasahaulika kama ex yoyote...

Na wanatimuliwa kama ex yoyote

Yaani litoke huko lilikotoka liombe game apewe kwa kuwa tu alitoa bikira? Bado sana aisee....

Hahaha.

For'eal tho, kuna ushindi fulani nadhani kila mwanaume huwa anajisikia kama amewahi kumsaidia binti yeyote kuvuka usichana wake. My ex kila mara ananikumbusha kuwa nitabaki kuwa mwanaume special maishani mwake, sababu kubwa ni hiyo. And i beat my chest like...

 
Kwani kuna ajabu? Anakimbizwa tu....


Daah Umkimbize Alietoa Wavu!!??


Sasa muombe game uone utakavyochenjiwa.... teh teh

Wanawake wanaweza ongea maneno ukajiona bingwa kumbe mwenzio hayupo huko kabisa

 
Mechi unaweza usitoee ila kumbukumbu yaje haitokutokaa lbd alikubakaa na alikuumizaa hivyo moyo umejaa machungu yakee...


Unayekutana naye mwl na wewe mwl ndio ngoma inanogooo na aliyeanzwa na kuolewa na huyohuyo hongera zake but menu mchanganyiko ni nzr
 
kwa taarifa yako wengiwaliokuwa wa kwanza kukata utepe ndio huchukiwa zaidi........ maana hakukuwa na utamu wowote.... kichungu hakikumbukwi
 
Kimsingi, mwanamama yeyote mliyewahi na mahusiano yaliyotawaliwa na furaha zaidi ya karaha, na mkaachana katika mazingira mazuri. Mara nyingi sana kunakuwa na nafasi za throwback. Haijalishi ulifungua wewe ama lah.

So fellas, that's the trick. Treat your women right, always.
 
Aiii simpi, kwani kunitoa bikra ndio kawa owner wa my papuchino?? Tena namtoa baru hathubutu tena kujileta nyambaafu!! Ukiondoka umeondoka na nakusahau hakuna kurudi.
Kwanza hata aliyenibikiri simkumbuki sijui ni nani vile!!!
 
Aiii simpi, kwani kunitoa bikra ndio kawa owner wa my papuchino?? Tena namtoa baru hathubutu tena kujileta nyambaafu!! Ukiondoka umeondoka na nakusahau hakuna kurudi.
Kwanza hata aliyenibikiri simkumbuki sijui ni nani vile!!!

Hahaha. Kwani ilikuwa experience mbaya kiasi hicho mpaka hutaki kukumbuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…