McBrian George
Member
- Jan 3, 2017
- 14
- 21
KWA WANAUME WA UKWELI
Ni neno rahisi Lakini Muhimu Ambalo Mwanamke Anahitaji Kusikia Kila Siku kutoka kwa mume au mpenzi wake.
NAKUPENDA
Kupendwa ni mojawapo ya vitu ambavyo binadamu anahitaji sana. Chukulia mtoto mfano,toka tukiwa watoto kupendwa ni kitu kinachohitajika sana na kinapokosekana kuna madhara makubwa yanayotokea ikiwemo mtoto kutojipenda mwenyewe na kutojiona wa thamani. Kwa wanawake halikadharika,japo ni wakubwa tayari
lakini kasumba ya utotoni imo bado ndani yao na mahitaji ni yaleyale.
Ukiangalia vizuri mahangaiko yote ya mwanamke juu ya urembo na mavazi utaona kuwa ni kutaka kuhakikisha kuwa anapendwa. Au kujinyima na kuishi katika mwenendo ambao wewe kama mume unafikiri ni vizuri au jamii inafikiri ni vizuri ni kutaka kuhakikisha kuwa anapendwa. Basi kwa kumtamkia kuwa unampenda mara nyingi kadili utakavyoweza inampa kujiamini kwa jinsi alivyo na kwa yale anayoyafanya.
Kumwambia mkeo kuwa unampenda na kuonyesha kwa matendo kunamfanya naye akupende zaidi.
Neno hili likitumika kwa dhati na sio kusema tu, lina maajabu makubwa katika kuboresha mahusiano ya wenza wapendanao, Wanaume mliooa na ambao mpo katika mahusiano,Hebu weka mazoea ya kumtamkia mwenza wako neno NAKUPENDA ,maana kuna wanaume wengine tangu walipotamka siku ya Harusi mpaka leo hii
Mwanaume wa Ukweli Mpende mkeo!!
Ni neno rahisi Lakini Muhimu Ambalo Mwanamke Anahitaji Kusikia Kila Siku kutoka kwa mume au mpenzi wake.
NAKUPENDA
Kupendwa ni mojawapo ya vitu ambavyo binadamu anahitaji sana. Chukulia mtoto mfano,toka tukiwa watoto kupendwa ni kitu kinachohitajika sana na kinapokosekana kuna madhara makubwa yanayotokea ikiwemo mtoto kutojipenda mwenyewe na kutojiona wa thamani. Kwa wanawake halikadharika,japo ni wakubwa tayari
Ukiangalia vizuri mahangaiko yote ya mwanamke juu ya urembo na mavazi utaona kuwa ni kutaka kuhakikisha kuwa anapendwa. Au kujinyima na kuishi katika mwenendo ambao wewe kama mume unafikiri ni vizuri au jamii inafikiri ni vizuri ni kutaka kuhakikisha kuwa anapendwa. Basi kwa kumtamkia kuwa unampenda mara nyingi kadili utakavyoweza inampa kujiamini kwa jinsi alivyo na kwa yale anayoyafanya.
Kumwambia mkeo kuwa unampenda na kuonyesha kwa matendo kunamfanya naye akupende zaidi.
Neno hili likitumika kwa dhati na sio kusema tu, lina maajabu makubwa katika kuboresha mahusiano ya wenza wapendanao, Wanaume mliooa na ambao mpo katika mahusiano,Hebu weka mazoea ya kumtamkia mwenza wako neno NAKUPENDA ,maana kuna wanaume wengine tangu walipotamka siku ya Harusi mpaka leo hii
Mwanaume wa Ukweli Mpende mkeo!!