kaka, naona unatoa tu masomo ya kusaliti ndoa.somo: Hakikisha hawara yako hana namba ya simu ya mkeo.
naona mabadiliko makubwa sana baada ya kutokomea kwenye project!nikimaliza hanemuni nikaingia rasmi nitakuwa kama memba mpyaNinja
Ninja moksu yame
Member
Join Date: Fri Feb 2010
Location: Kakurezato
Posts: 33
Thanks: 0
Thanked 16 Times in 9 Posts
Rep Power: 0
.
Hii ni ya kweli na imetokea hivi:
Njemba imekwenda kwa hawara,katika malavidovi ikanyolewa nywele za chini.Akiwa njiani anaelekea nyumbani hawara kampigia simu Bi Mkubwa "haya sema sasa,hata kumnyoa mmeo mananihii hujui,anarudi huyo,angalia nilivyomrembesha kwenye nonino,eheee halo halo". Mzee mzima kuingia tu sebuleni mama uzalendo ukamshinda akaona hata asisubiri mzee aende bafuni ili amkague vizuri,kamdaka hapo hapo sebuleni, 'vua mme wangu,nakwambia vua hiyo suruali',mwanzoni jamaa alifikiri dhihaka lakini alivyocheki sura ya mamsap ikam click akajua hapa kimewaka! swali,mshikaji ungekuwa wewe hii soo ungeipangua vipi?
Hiyo Avanta yako imenikumbusha 14th February
Anyways ndani ya mada - Nadhani wanawake wengi ni WAVIVU wa kunyoa naniiii za waume/wenzi wao!
na hao wanaume wanasubiri wake zao wawanyoe hawana akili kabisa ungesubiri utawazwe pia. wanawake wana vitu vingapi vya kufanya? akipata nafasi its okay lakini sio kila kitu umwachie.
Mtoto una maneno utadhani william shakespear.
Aminia Theregetitherengeti.
na hao wanaume wanasubiri wake zao wawanyoe hawana akili kabisa ungesubiri utawazwe pia. wanawake wana vitu vingapi vya kufanya? akipata nafasi its okay lakini sio kila kitu umwachie.
Mtanisamehe tu nimeingia ila nimefumba macho wajameni.
Duh huyo 'mwizi' mgomvi!! Mie ningekuwa mke ningemjibu
' Umetuharibia wenyewe twapenda viwanja vyenye majani, vipara vitatuumiza'
Halafu mume ntakusubiria kitandani usiku theni nakunyoa upya huku nikwambia kwa upole na mahaba mazito....
' Huyu amekunyoa vizuri ila hajamaliza vizizi, kwa hali hii zitaota kesho asubuhi ngoja nikusawazishe!!'
Eh kumbe waliulizwa wanaume!!
Sio ujinga wetu Ninja ni balance of nature vinginevyo nyumba nyingi sana ungekuwa uwanja wa vita!
Mtanisamehe tu nimeingia ila nimefumba macho wajameni.
Duh huyo 'mwizi' mgomvi!! Mie ningekuwa mke ningemjibu
' Umetuharibia wenyewe twapenda viwanja vyenye majani, vipara vitatuumiza'
Halafu mume ntakusubiria kitandani usiku theni nakunyoa upya huku nikwambia kwa upole na mahaba mazito....
' Huyu amekunyoa vizuri ila hajamaliza vizizi, kwa hali hii zitaota kesho asubuhi ngoja nikusawazishe!!'
Eh kumbe waliulizwa wanaume!!
mmmh dada u have a point lakini elewa tu ya kwamba wanaume ni dhaifu na wanawake ni ibilisi (rejea vifungu vya biblia); huitaji walinzi wa kimasai au mbwa kumlinda mumeo ... mpe lugha nzuri na tamu, matunzo mazuri pamoja na huo usafi, msaidie katika chakula, mavazi na vijimambo vidogovidogo (i mean total caring) halafu uone kama kuna kidudu mtu cha uswazi kitakacho mpata mumeo, na atakuheshimu kupindukia!
kiukweli wanaume waliooa wanasumbuliwa sana na vicheche vya nje, yaani kama hana msimamo na kama mambo yenu ya ndani (malavidavi) sio mazuri ... lazima aingie king tu ... na usicheze na vicheche vya kitaa, ni noma ... kazi yao ndio hiyo tu na wako fully equiped!! kwa hiyo ukijifanya ni gender sensitive kwa sana .... walaah utakuwa unalia kila siku kwa hao mahawara aka mabazazi wa nje;
hakuna kusoma au usawa katika mapenzi ... usidanganyike!! ukiwa na formal education ya bachelors, masters au phd basi kwenye dunia ya mapenzi waweza kuwa ni sawa na (elimu ya) darasa la saba; punguzeni viburi vya jinsia dadazangu kuepusha kuwa na single parents wengi ... matokeo yake kila kidume kikija kinakula mzigo halafu kinakula kona mpaka unazeeka .. lol!
no offenses meant please!
MDBD
yaani, hakuna kunanilii? unipake poda na aftershave kisha nikuangalie tu umelala 'kwa amani'? haiwezekani....ni kama tambi na mboga ya majani!
Mtanisamehe tu nimeingia ila nimefumba macho wajameni.
Duh huyo 'mwizi' mgomvi!! Mie ningekuwa mke ningemjibu
' Umetuharibia wenyewe twapenda viwanja vyenye majani, vipara vitatuumiza'
Halafu mume ntakusubiria kitandani usiku theni nakunyoa upya huku nikwambia kwa upole na mahaba mazito....
' Huyu amekunyoa vizuri ila hajamaliza vizizi, kwa hali hii zitaota kesho asubuhi ngoja nikusawazishe!!'
Eh kumbe waliulizwa wanaume!!
mmmh dada u have a point lakini elewa tu ya kwamba wanaume ni dhaifu na wanawake ni ibilisi (rejea vifungu vya biblia); huitaji walinzi wa kimasai au mbwa kumlinda mumeo ... mpe lugha nzuri na tamu, matunzo mazuri pamoja na huo usafi, msaidie katika chakula, mavazi na vijimambo vidogovidogo (i mean total caring) halafu uone kama kuna kidudu mtu cha uswazi kitakacho mpata mumeo, na atakuheshimu kupindukia!
kiukweli wanaume waliooa wanasumbuliwa sana na vicheche vya nje, yaani kama hana msimamo na kama mambo yenu ya ndani (malavidavi) sio mazuri ... lazima aingie king tu ... na usicheze na vicheche vya kitaa, ni noma ... kazi yao ndio hiyo tu na wako fully equiped!! kwa hiyo ukijifanya ni gender sensitive kwa sana .... walaah utakuwa unalia kila siku kwa hao mahawara aka mabazazi wa nje;
hakuna kusoma au usawa katika mapenzi ... usidanganyike!! ukiwa na formal education ya bachelors, masters au phd basi kwenye dunia ya mapenzi waweza kuwa ni sawa na (elimu ya) darasa la saba; punguzeni viburi vya jinsia dadazangu kuepusha kuwa na single parents wengi ... matokeo yake kila kidume kikija kinakula mzigo halafu kinakula kona mpaka unazeeka .. lol!
no offenses meant please!
MDBD