kwa wanaume tu, soma hapa

kwa wanaume tu, soma hapa

Hizi story bhana! Kila mtu eti ana kimbia bili kwa kuaga ana kwenda toilet.
Hata sikumoja mtu hajawai kung'ang'aniwa kulipa bili? Je na huyo msichana kesho yake humuoni tena au hatokuona au hamtokutana?
hahahah tutajuana tukikutana ila siwezi lipia mtu bili ambaye sikupanga na sikua na bajeti hiyo......huyu jamaa kafanya tendo la kishujaa sana...WANGENIKUTA MIMI MBONA WANGEKOMA!!!!
 
Hizi story bhana! Kila mtu eti ana kimbia bili kwa kuaga ana kwenda toilet.
Hata sikumoja mtu hajawai kung'ang'aniwa kulipa bili? Je na huyo msichana kesho yake humuoni tena au hatokuona au hamtokutana?

kama mbwai mbwai tu, kama lengo lake ni kukukomoa, atakuwa hakupendi, lazima anune maana umemzidi kete
 
kuna jamaa alishawai kuwakomoa, baada ya muudum kuja alimwambia amsikilize huyo demu wake anataka kinywaj gan. Baada ya hapo akamwambia muudu awa waliobaki waletee soda, wadada walikunywa soda japo kwa shingo upande

huyo jamaa anaroho ya kijasiri saana, yaani kawapa makavu laivu
 
By Ruttashobolwa<br />
Hizi story bhana! Kila mtu eti ana kimbia bili kwa kuaga ana kwenda toilet.<br />
Hata sikumoja mtu hajawai kung'ang'aniwa kulipa bili? J<font color="red">e na huyo msichana kesho yake humuoni tena au hatokuona au hamtokutana?</font>
<br />
hahahah tutajuana tukikutana ila siwezi lipia mtu bili ambaye sikupanga na sikua na bajeti hiyo......huyu jamaa kafanya tendo la kishujaa sana...WANGENIKUTA MIMI MBONA WANGEKOMA!!!!
mkuu tupe maujuzi ungewakomeshaje?
 
kwanini uvunje miguu, msubiri mhudumu akija muulize bili yako tu halafu lipa na uwaage kwa amani.
 
kwanini uvunje miguu, msubiri mhudumu akija muulize bili yako tu halafu lipa na uwaage kwa amani.
ili kesho warudi tena, mambo ya amani mtakuja kuyatafuta baadae, wakishapata kijoto cha kulipa bili bila kutarajia
 
wanaumeeee
inasemekana kuwa wakina dada wa IFM na ustawi wa jamii ukiwa na promise nao, haji peke yake wanakuja jopo lengo kukukomoa, ndo tabia yao

jamaa yangu mmoja yamemkuta ijumaa ya jana, kamwalika binti, kama kawaida naye kaja na jopo lake, wakaagiza kwa fujo, kinaja kaona maji yamemzidi kwa nini asiwatoroke!
kijana wa watu kainuka kama anaenda msalani, lol hakurudi tena, mabinti wakalazimika kulipa bili,
kinachonishangaza hawa mabinti huwa wanawaza nini?
kama humtaki mtu si umwambie kuliko kumtia hasara zisizo na sababu!
Ndo dawa yao, ukishikwa nawe unashikamana... Mbona wao wakitoa ahadi ya kubanjuana sisi tunakuja bila wengine?
 
Nikweli kabisa hata mimi imewahi kunitokea mkuu. Nilichokifanya nikuleta ukauzu kwa kumuita yule demu niiyemtokea nikamwambia mimi sina mkwanja wa kuhudumia hawa raia ulioambatana nao kama vipi kikao kihairishwe. demu akajibu basi ngoja niwasindikize halafu ntarudi. nilimsubiri mpaka leo.Baadae nikajuta nikasema nibora ningesimamia show. mzigo niliukosa.
 
Hapana kujitia shujaa...wanapowasili tu unawajulisha na kumwambia muhudumu kuwa utalipa za yule ulikubaliana nae...
Wasindikizaji unawaagizia Kilimajnjaro kubwa na glasi...kama hawawezi wote waondoke...shenzi...nawatamani mno!
 
Nikweli kabisa hata mimi imewahi kunitokea mkuu. Nilichokifanya nikuleta ukauzu kwa kumuita yule demu niiyemtokea nikamwambia mimi sina mkwanja wa kuhudumia hawa raia ulioambatana nao kama vipi kikao kihairishwe. demu akajibu basi ngoja niwasindikize halafu ntarudi. nilimsubiri mpaka leo.Baadae nikajuta nikasema nibora ningesimamia show. mzigo niliukosa.
bora walikula kona, maana ungesimamia show, na bado mzigo ungekosa
 
Poa sana ..ukimfanya hivi walau akienda kwingine siku nyingine atakuwa na adabu.. ama vipi unawakula wote kwa mzunguko.
 
Mbona hata asingetoroka angelipia alivyokula yeye halafu amwambie waiter kila mtu atalipa bill kulinga na alivyoagiza..where i come from nothing is for free..by american..undisputed two..boyka boyka...
 
hio ndio dawa yao hao wanaojifunza umalaya
 
Wajinga sana hawa, halafu wakiitwa mademu, wanakasilika sana, tabia zao kama mademu wa Ambiance au Meeda vile, mie wananikera hawa!
 
Back
Top Bottom