BSL
Member
- Dec 15, 2018
- 86
- 98
ikitokea mwanaume ulikuwa na demu wako unaye mpenda kwa dhati kabisa ghafla tu anakuambia kuwa kuanzia leo mimi na wewe basi kila mtu afanye mambo yake ,hakuna tena cha mahusiano wala mapenzi je nini cha kufanya je ukiwa kama ndiye wewe umeambiwa hivyo utafanya nini hasa cha muhimu

