Naomba mawazo yenu hapa. Mtu ambaye amemjua Mungu na kuwa na Yesu maishani mwake bado anahitaji kwenda kutafuta msaada kwa waganga wa kienyeji? Jibu lako liambatane na sababu.
Futa hii post kwa sababu inajirudia. Tumeshakusoma kwenye ile ya kwanza, sasa wacha watu wachangie lakini sio kudupliketi mada. Unatupotezea muda, ingawa mada yako ni nzuri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.