Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Waafrika, hasa Waswahili tumekuwa wepesi sana wa kujidanganya, mara ohh wazungu wa baridi, mara wazungu hawana shepu, mara wazungu kitandani gogo.
Nani kasema?
Sitaki kusimulia alichonitendea bibie huyu.
Kwanza ana ngwenye ya kutosha, hata kina Sikitu, Mwanjaa, Mwajuma na Mwanne hawaifikii, ana ujoto wa kwenda chule, kiuno laini kama kimewekwa haidroliki, guu la kufa mtu, kwa mahaba usisime.
Hakika kanifanya nimsahau kabisa@mamndenyi, naomba ladyfurahia uniombee ili ndumba za Mamndenyi na shoga yake mpambe nuksi mwaJ zidunde, niendelee kula raha na wangu mwandani.
Nani kasema?
Sitaki kusimulia alichonitendea bibie huyu.
Kwanza ana ngwenye ya kutosha, hata kina Sikitu, Mwanjaa, Mwajuma na Mwanne hawaifikii, ana ujoto wa kwenda chule, kiuno laini kama kimewekwa haidroliki, guu la kufa mtu, kwa mahaba usisime.
Hakika kanifanya nimsahau kabisa@mamndenyi, naomba ladyfurahia uniombee ili ndumba za Mamndenyi na shoga yake mpambe nuksi mwaJ zidunde, niendelee kula raha na wangu mwandani.
Last edited by a moderator: