Kwa wanaohitaji viwanja Mtumba na Ihumwa Dodoma

Kwa wanaohitaji viwanja Mtumba na Ihumwa Dodoma

Good Neighbour

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2017
Posts
942
Reaction score
898
IHUMWA-EL SHADAI

vimebaki viwanja nane tu ambavyo vina 600-602SQM

Bei ya kila kiwanja ni milioni 11 Tu

Viwanja vilivyobaki ni vyenye doti nyeusi katika ramani hapa chini

MTUMBA

kimebaki kimoja chenye 1000SQM
Bei yake 6M(fixed)

Kwa mawasiliano zaidi
+255622111186(whatsap)
+255767833496(Call)

NB ; Viwanja hivi vyote ni vya makazi
IMG_20190131_112009_802.jpeg
IMG_20190131_111539_029.JPG
IMG_20190131_114027_015.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
OFA YA PASAKA

Viwanja viwili vilivyopimwa kwa bei ya ofa

MAHALI ; Nala chinangali

UMBALI TOKA CITY CENTRE MPAKA KWENYE ENEO ; 15km

UMBALI TOKA BARABARA KUU YA LAMI(SINGIDA ROAD) MPAKA KWENYE VIWANJA ; mita 300/dakika 4 kwa mguu

IDADI YA VIWANJA ; Viko viwili

UKUBWA WA KILA KIWANJA ; 770 sqm(ni zaidi ya miguu 30 kwa 25)

KUPIMWA : vyote vimepimwa na jiji na kuwekwa beacons.Ramani ipo

DOCUMENTS : vina in-voice kwaajili ya hati

VITU VILIVYO JIRANI
-shule mpya ya masister wa sathome
-eneo lao(masister)watapojenga hospital
-Tanesco substation
-Ngageya college of business
-Eneo la Nam hotel

MATUMIZI ; makazi na pia unaweza jenga apartment za kupangisha sababu ya taasisi za elimu zilizopo lazima wafanyakazi watahitaji kupanga

BEI YA KILA KIWANJA ;- milioni 3.1 tu,kwa vyote viwili ni milioni 6 tu (bei hiyo ni ofa hivyo tafadhali zingatia ofa hainaga punguzo)

NB ; nakuibia siri,ukiona sehemu watu wa kanisa katoliki wapo jua hayo ni maeneo potential sana(i stand to be corrected) -Kwenye ramani ni viwanja vyenye doti ya nyekundu,vinafuatana.

MAWASILIANO
0767833496
0622111186

Follow me on istagram kwa jina
good neighbour01

THANK ME LATER
IMG_20190416_103012_263.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom