Kuwasikiliza ni muhimu ili kujua mipango yao na hila zao kwa undani. Hii itasaidia kupanga mikakati ya kukabili ufirauni wao. Au umesahau kuwa kabla ya kumshambulia adui lazima umjue vema, la sivyo atashindwa vita. Tusiwe kama ccm ambao hata kilichomo katika rasimu "yaq" ya katiba mpya hawakijui, wamebaki kutaja CDM, Wanaharakati, ITV.........