Kocha alikosea kupanga Kikosi.
Hakuwaheshimu Berkane, Na.mimi nilishauri hapa mpango kazi hasa kipindi cha kwanza.
Anyway kocha ndio anajua kuliko sisi.
Binafsi ningeingia na Back 3.
Chemalone karabue hamza.
Wingback.
Kapombe na shabalalal
Kiungo Nouma, kagoma Debora,Ngoma
Mbele Ateba.
Baada ya 0-0 pindi cha pili ningeingiza viberenge.
Mpanzu,mtale, kibu, Ahoua.