Mmmhh sidhani kama ujakua peke yako tu maana wengi walifail so axces na laptonga,ma cm ya ukweli hawana(Joking)
Humu wengi wajivuni,wengi mashule makubwa makubwa Kibaha,Mzumbe,ilboru,tabora boys,mzizima,azania,kilakala,msalato,jangwani,kisutu,kbasila,zanaki lakini hizo shule zenu za kantalamba upati mtu(joking)
Ukweli Ngumu kumesa