Nimesoma shule hizo na nazifahamu vizuri. Kuna wanafunzi kweli wako talented lakini pia wapo vilaza hadi mtu unajiuliza alikuja vp hapa. Yote kwa yote kufaulu ni juhudi binafsi na kwa kuwa wengi wana uelewa mzuri hivyo ni rahisi kupata msaada kutoka kwa mwanafunzi mwenzako pia. Ninakumbuka kuna mwalimu alikuwa anatuambia yeye anachangia 25% ya mwanafunzi kufaulu na 75% ni mwanafunzi mwenyewe.