Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 575
- Thread starter
- #41
Hahaha shule bora tanzania ndio hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amna ki2 hapo vpaji wapii hzo ni stori za zama za mwalimu.
sawasawa ndugu hizo shule kweli ni nzuri na juhudi ya mwanafunzi ndiyo ufaulu wake na ndiyo kukuza kipaji alichokuja nacho hapo shule kipaji bila kukiendeleza kitakufa tu mimi nimesoma kibaha sec KSS miaka ya 1993 iko vizuri mazingira walimu vifaa yaani ni shule safi sanaNimesoma shule hizo na nazifahamu vizuri. Kuna wanafunzi kweli wako talented lakini pia wapo vilaza hadi mtu unajiuliza alikuja vp hapa. Yote kwa yote kufaulu ni juhudi binafsi na kwa kuwa wengi wana uelewa mzuri hivyo ni rahisi kupata msaada kutoka kwa mwanafunzi mwenzako pia. Ninakumbuka kuna mwalimu alikuwa anatuambia yeye anachangia 25% ya mwanafunzi kufaulu na 75% ni mwanafunzi mwenyewe.