Ushauri anaweza kupewa ila unakua ni mtazamo wangu binafsi kutokana na jinsi navyoipenda na muono wangu binafsi. Ila kuna course ambazo zipo marketable ambazo ukisoma lazma upate kazi au hata ukakosa basi kujiajiri ni rahisi kabisa. Kuna IT au Computer Science. Ni technical course hizo ambazo huwez lala njaa ukizisoma