Kwa waliosoma IFM

Ukisoma hiz course na ukawa unapishana na pesa basi ujue ulikua unakariri, yan hujuzi wako ni wa kwenye makaratasi. Ila ukijua basi utatafutwa na watu sio ww uwatafute.
 
Kwa level yake hiyo inakua course moja insurance and social protection akiingia diploma ndo zinakua course mbili tofauti..
kwani si anakwenda kusoma diploma direct ama mimi ndo sijawaelewa hawa nacte
 
pamoja mzee. shukrani sana umekuwa msaada sana hapa
 
Ukisoma hiz course na ukawa unapishana na pesa basi ujue ulikua unakariri, yan hujuzi wako ni wa kwenye makaratasi. Ila ukijua basi utatafutwa na watu sio ww uwatafute.
kuna changamoto za hizi kozi nazo mzee..kidogo nina xperience na hizi kozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…