kwa waliokosa bumu badaa ya kusaini UDOM

kwa waliokosa bumu badaa ya kusaini UDOM

kipusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
443
Reaction score
75
kwa aliekosa bumu tuwasiliane hapa tnakopesha pesa chap chap.uje na kitambulisho chako cha kura na ID ya chuo kwa first year.
 
Mnakopesha kwa riba au kawaida kama na riba ni asilimia ngapi ?
 
Mnakopesha kwa riba au kawaida kama na riba ni asilimia ngapi ?

kwa riba ntafute kesho!! ila utakiwa uje na wazr wa mikopo wa serkar ya wanafunz.
 
kwa aliekosa bumu tuwasiliane hapa tnakopesha pesa chap chap.uje na kitambulisho chako cha kura na ID ya chuo kwa first year.

una kibali? Nyio ndio mnatafutwa. take care utapoteza hela yako.
 
Back
Top Bottom