Kwa waliojaribu Windows 11

Kwa waliojaribu Windows 11

whiteskunk

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
3,928
Reaction score
9,437
Tangu tarehe 5 walipoachia .iso ya win11 ambayo wengi tulikuwa tunaisubiri kwa hamu nilifanikiwa kui install.

Baada ya siku mbili zakufanya majaribio ilibidi niitoe nirudishe win21H1 sababu ikiwa ni kuongezwa kwa vitu visivyo na msingi pia kuna watu wanalalamika hakuna options ya small taskbar buttons.

Ukiangalia kwa makini wameiga sana mac os na ubuntu.

Naomba mirejesho kwa walioijaribu...
images%20(3).jpg


Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Nimejitahidi kuitafuta option ya small taskbar icons nimeikosa.
 
Win 11 bado haijaisha, ndio kwanza sasa hivi tumepokea support ya Android insider. Imezinduliwa haraka haraka sababu ya processor mpya zinazokuja kama Alder Lake zina core/thread nyingi sana nyengine zinafika hadi 20 hivyo win 10 haina uwezo huo.

Wame update core ya win 11 kuhandle hayo mambo, wamezindua haraka ili iendane na uzinduzi wa intel Then feature mdogo mdogo zinawekwa.

Kama una mambo yako muhimu subiria subiria kwanza.
 
Win 11 bado haijaisha, ndio kwanza sasa hivi tumepokea support ya Android insider. Imezinduliwa haraka haraka sababu ya processor mpya zinazokuja kama Alder Lake zina core/thread nyingi sana nyengine zinafika hadi 20 hivyo win 10 haina uwezo huo.

Wame update core ya win 11 kuhandle hayo mambo, wamezindua haraka ili iendane na uzinduzi wa intel Then feature mdogo mdogo zinawekwa.

Kama una mambo yako muhimu subiria subiria kwanza.
Iyo alder lake ni intel?

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Nisaidieni nime install windows 11 sk mbili zilizopita mara leo imepotea ghafla.

Laptop inawaka ila siwezi kufungua chochote na mafaili hayaonekani...
 
Washa kwenye safe mode au tumia livecd ya hirens au ya Ubuntu au linux yoyote

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Haikuwa inafunguka kabisa kutoa option yoyote.
Halafu kesho yake ikaja message kusema system ime notice problem kwenye START na inajaribu ku resolve.
Baada ya kuona huo ujumbe nikasubiri halafu nika restart mara mbili ikakubali.
Big up kwa ushauri ingawa sikuutumia
 
Win 11 bado haijaisha, ndio kwanza sasa hivi tumepokea support ya Android insider. Imezinduliwa haraka haraka sababu ya processor mpya zinazokuja kama Alder Lake zina core/thread nyingi sana nyengine zinafika hadi 20 hivyo win 10 haina uwezo huo.

Wame update core ya win 11 kuhandle hayo mambo, wamezindua haraka ili iendane na uzinduzi wa intel Then feature mdogo mdogo zinawekwa.

Kama una mambo yako muhimu subiria subiria kwanza.
True kabisa
 
Back
Top Bottom