Kuhusu zile nafasi ni kwamba UDSM wamepewa hadi tarehe 22/06/2016 wawe wameajiri. Hii ni kuanzia kwenye screening of the interviewees, short listings, interviews, selection na mwisho kuhakikisha watu wapo kwenye mfumo wa ajira. Kwahiyo sikilizia wiki ijayo kama unahitajika utawasikia.