Being single does not mean no one wants you, it just means that God is busy writingyour love story. So have patience, may you soon get the Love of your Life
Kuwa single inaweza kuwa katika kipindi cha mpito, kwamba mtu kaachwa/kaacha.
Kwa hiyo nadhani ni kawaida japo najua hakuna mtu anapenda upweke. Lakini ni muhimu kutulia wakati mwingine ili uweze kutua mti mwema, so naunga mkono hoja ya mwandishi
Being single does not mean no one wants you, it just means that God is busy writingyour love story. So have patience, may you soon get the Love of your Life
Kuwa single inaweza kuwa katika kipindi cha mpito, kwamba mtu kaachwa/kaacha.
Kwa hiyo nadhani ni kawaida japo najua hakuna mtu anapenda upweke. Lakini ni muhimu kutulia wakati mwingine ili uweze kutua mti mwema, so naunga mkono hoja ya mwandishi
yani Mungu awe busy kuandika your love story kabisa?
big no
YEAH, sure God know what is best for us and for every area of our life, include our marriage anapanga kila kitu.[FONT=Helvetica, Arial, sans-serif] [/FONT]