Kwa wale wenye kutia shaka juu ya Tanzania kuipita Kenya kwa idadi ya matajiri, jibu lipo hapa

Soma taarifa vizuri wacha kuweweseka, hiyo ni ripoti ya 2013, na kiwango cha ongezeko kilikadiriwa ni 51% kwa Tanzania, na 24% kwa Kenya, sasa hivi ni 2020, piga hesabu, kisha toa 500 kwa Kenya. Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hahahaha. Akili ndogo haiwezi shindana na akili kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikupe ripoti ya 2018 utoe hyo 500 uone utapata ngapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa!!unapigwa na ripoti yako mwenyewe
Unaleta source kujitetea kumbe hujui km itakuumbua mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninyi ni stupid na hamna akili kabisa, soma post #3 hapo juu kama sikujibu hilo swali lake, acheni kuweweseka Knight Frank is a global reputable body, ninyi watu wa Kibera mnaojisaidia katika mifuko ya plastic hamna uwezo hata 0.001% kuwakosoa. Tanzania imewazidi sana kwa matajiri, hamuwezi kushindana na Tanzania labda katika rushwa pekee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania mints millionaires faster than Kenya, Uganda

Hii ni taarifa ya ripoti ya mwaka 2013, zote zilionyesha kwamba Tanzania inatengeneza matajiri wengi kuliko nchi yoyote hapa EA, iweje miaka saba baadae mnashangaa kuona idadi ya matajiri ni kubwa Tanzania kuliko idadi ya matajiri katika Kenya na Uganda "Combined?"

Mimi ninadhani badala ya kupoteza muda kupingana na ukweli, ni bora mkajipanga upya ili kuja na mbinu za kuongeza idadi ya matajiri.

======
Tanzania is creating dollar millionaires faster than any other East African country, a new report says.

This means that East Africa’s newest millionaires are likely to come from Tanzania, as opposed to Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda or Burundi.

According to the African 2013 Wealth Book, the country is ranked third in Africa, after Ethiopia and Angola, with its millionaires’ club growing at a rate of 51 per cent between 2007 and 2013.

While it had 3,700 millionaires in 2007, this number had risen to 5,600 by 2013. Tanzania is followed in the region by Kenya, the only other regional country that features among the top 10 in Africa. Kenya is reported to have had 8,300 millionaires in 2013 against 6,700 in 2007, a growth rate of 24 per cent.

The report, put together by New World Wealth, defines millionaires or high net worth individuals (HNWIs) as those with net assets worth $1 million or more, excluding the value of their primary residences. The survey includes only those countries that had over 800 millionaires in 2013.

On the scale of absolute numbers, Kenya is up there, mixing it up with Africa’s big boys, coming fourth after South Africa (48,700), Egypt (22,800) and Nigeria (15,700).

Tanzania’s faster acceleration must be understood in the context of a country that is coming from a low base. After decades of a command economy in which the government controlled most of the wealth, the liberalised economy is just warming up and the risk-takers among the population are clearly cashing in.

Tanzania is also more resource-rich than its EAC partners. It is endowed with vast natural gas and oil deposits, besides substantial quantities of gold, diamond and tanzanite. It also has the region’s biggest water and forest resources and is often referred to as the “lungs of the region.”

Thus the newly created millionaires probably individuals who have bet their money on its rapidly developing oil, gas and minerals sector, where massive deposits of offshore gas have made Tanzania a leading investment destination for prospectors and developers.

As of June 2013, 42.7 trillion cubic feet of natural gas (about 7.5 billion barrels of oil equivalent) has been discovered in Tanzania.

Tanzania’s gold sector has also witnessed a boom in the past few years, and it is now the country’s leading export, worth $2.2 billion in 2012, followed by tobacco exports at $223 million and coffee at $187 million.

Tanzania’s general ascendancy is also evidenced by the growth it has registered in the value of wealth per person over the years.

It recorded a growth of 45 per cent between 2007 and 2012 against Kenya’s 20 per cent. Even then, Kenyans were generally richer than their Tanzanian counterparts at a per capita income of $862 against the latter’s $609 in 2012.
In average terms, the richest Africans are to be found in South Africa ($7,508 per capita income), Angola ($5,485), Algeria ($5,404), Tunisia ($4,237) and Egypt ($3,187). While South Africa is known to have a resource-rich and fairly sophisticated economy, Angola is the beneficiary of its oil. The Maghreb countries’ good fortune is a result of a mix of oil and “welfarist” public policies.

Wealth distribution remains a major challenge in the region, with per capita incomes still generally subdued, compared with the rest of the continent. But perhaps this is also a factor of the size of the pie.

Uganda leads the pack in expanding individual wealth in the region.
Per capita income in the country is shown in the report to have doubled from $180 in 2000 to $360 in 2013. Kenya is second with a growth rate of 89 per cent to $1,170 with Tanzania’s per capita income growing by 80 per cent to $250.

In its projections for 2030, the report does not foresee a major change in the continental rankings when it comes to the number of millionaires per country, though Nigeria is expected to overtake Egypt, with South Africa expected to be still on top of the heap.

Closer home, Kenya is expected to have 21,200 dollar millionaires, compared with Tanzania’s 15,200.

The other EAC countries, Rwanda and Burundi, were not ranked in the study, evidence that they could not raise over 800 millionaires in 2013, which could be a reflection of their relatively smaller populations.

Source: The East African

Additional reporting by Christine Mungai
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mambo ya 2013 ndio unatuletea hapa?
 
Tajiri ni mtu mwenye kiasi gani cha fedha?
Milionea ni mtu mwenye utajiri wa kiwango gani?
Tanzania mints millionaires faster than Kenya, Uganda

Hii ni taarifa ya ripoti ya mwaka 2013, zote zilionyesha kwamba Tanzania inatengeneza matajiri wengi kuliko nchi yoyote hapa EA, iweje miaka saba baadae mnashangaa kuona idadi ya matajiri ni kubwa Tanzania kuliko idadi ya matajiri katika Kenya na Uganda "Combined?"

Mimi ninadhani badala ya kupoteza muda kupingana na ukweli, ni bora mkajipanga upya ili kuja na mbinu za kuongeza idadi ya matajiri.

======
Tanzania is creating dollar millionaires faster than any other East African country, a new report says.

This means that East Africa’s newest millionaires are likely to come from Tanzania, as opposed to Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda or Burundi.

According to the African 2013 Wealth Book, the country is ranked third in Africa, after Ethiopia and Angola, with its millionaires’ club growing at a rate of 51 per cent between 2007 and 2013.

While it had 3,700 millionaires in 2007, this number had risen to 5,600 by 2013. Tanzania is followed in the region by Kenya, the only other regional country that features among the top 10 in Africa. Kenya is reported to have had 8,300 millionaires in 2013 against 6,700 in 2007, a growth rate of 24 per cent.

The report, put together by New World Wealth, defines millionaires or high net worth individuals (HNWIs) as those with net assets worth $1 million or more, excluding the value of their primary residences. The survey includes only those countries that had over 800 millionaires in 2013.

On the scale of absolute numbers, Kenya is up there, mixing it up with Africa’s big boys, coming fourth after South Africa (48,700), Egypt (22,800) and Nigeria (15,700).

Tanzania’s faster acceleration must be understood in the context of a country that is coming from a low base. After decades of a command economy in which the government controlled most of the wealth, the liberalised economy is just warming up and the risk-takers among the population are clearly cashing in.

Tanzania is also more resource-rich than its EAC partners. It is endowed with vast natural gas and oil deposits, besides substantial quantities of gold, diamond and tanzanite. It also has the region’s biggest water and forest resources and is often referred to as the “lungs of the region.”

Thus the newly created millionaires probably individuals who have bet their money on its rapidly developing oil, gas and minerals sector, where massive deposits of offshore gas have made Tanzania a leading investment destination for prospectors and developers.

As of June 2013, 42.7 trillion cubic feet of natural gas (about 7.5 billion barrels of oil equivalent) has been discovered in Tanzania.

Tanzania’s gold sector has also witnessed a boom in the past few years, and it is now the country’s leading export, worth $2.2 billion in 2012, followed by tobacco exports at $223 million and coffee at $187 million.

Tanzania’s general ascendancy is also evidenced by the growth it has registered in the value of wealth per person over the years.

It recorded a growth of 45 per cent between 2007 and 2012 against Kenya’s 20 per cent. Even then, Kenyans were generally richer than their Tanzanian counterparts at a per capita income of $862 against the latter’s $609 in 2012.
In average terms, the richest Africans are to be found in South Africa ($7,508 per capita income), Angola ($5,485), Algeria ($5,404), Tunisia ($4,237) and Egypt ($3,187). While South Africa is known to have a resource-rich and fairly sophisticated economy, Angola is the beneficiary of its oil. The Maghreb countries’ good fortune is a result of a mix of oil and “welfarist” public policies.

Wealth distribution remains a major challenge in the region, with per capita incomes still generally subdued, compared with the rest of the continent. But perhaps this is also a factor of the size of the pie.

Uganda leads the pack in expanding individual wealth in the region.
Per capita income in the country is shown in the report to have doubled from $180 in 2000 to $360 in 2013. Kenya is second with a growth rate of 89 per cent to $1,170 with Tanzania’s per capita income growing by 80 per cent to $250.

In its projections for 2030, the report does not foresee a major change in the continental rankings when it comes to the number of millionaires per country, though Nigeria is expected to overtake Egypt, with South Africa expected to be still on top of the heap.

Closer home, Kenya is expected to have 21,200 dollar millionaires, compared with Tanzania’s 15,200.

The other EAC countries, Rwanda and Burundi, were not ranked in the study, evidence that they could not raise over 800 millionaires in 2013, which could be a reflection of their relatively smaller populations.

Source: The East African

Additional reporting by Christine Mungai
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Soma taarifa vizuri wacha kuweweseka, hiyo ni ripoti ya 2013, na kiwango cha ongezeko kilikadiriwa ni 51% kwa Tanzania, na 24% kwa Kenya, sasa hivi ni 2020, piga hesabu, kisha toa 500 kwa Kenya. Hahahaha, hahahaha, hahahaha, hahahaha. Akili ndogo haiwezi shindana na akili kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Forget about the percentages, focus more on the numbers. The report clearly states that Kenya had 8,300 dollar millionaires in 2013 and was ranked the fourth in Africa after SA, Egypt and Nigeria. How come this number has dropped to 2,000 ukiondoa 500?
 
tuusan kuja uone Ile ripoti ya knight Frank haimake sense sasa Kenya itatokaje kua na millionaire 8500 Hadi sijui 150? Tanzania nayo inatoka kutoka Hadi 5600 Hadi 200? Na hii yoteni after 7yrs,yaani idadi ya millionaires kutoka SA itoke over 40k Hadi below 10k .... keep in mind JSE ni kubwa ata kushinda Moscow security exchange?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata hivyo ni ubishi tu wa kipumbavu, sasa Kenya inayo vigezo vipi vya kuipita Tanzania kwenye millionaires?

Tanzania Ina madini, wachimbaji wa madini kuingiza billions annually ni kitu simple

Soko la madini mkoa wa Geita pekee huuza dhahabu yenye thamani ya billion 300 kwa mwezi kutoka kwa wachimbaji wadogo hiyo pesa yote inaenda mifukoni mwa watanzania wa kawaida, Kenya Kuna biashara gani ya kumuingizia Mkenya wa kawaida pesa nyingi kiasi hicho kila mwezi?

Na madini sio Geita tu, kule Mererani Kuna matajiri wa kufa mtu, wanaendesha hizi vx v8 kama baiskeli hazina idadi
This is s very shallow analysis. These natural resources you are flaunting here ni vitu zimekuwa Tanzania since time immemorial ila bado tuliwashinda Kwa idadi ya millionaires, GDP na per capita income. Do not talk as if madini ni kitu iligundulika Tanzania leo asubuhi
 
Hiyo ripoti imeeleza yote hayo, kitu pekee kinachotengeneza matajiri wengi Kenya ni ufisadi na rushwa, Uhuru Kenyatta ameanza kuwasaka na kupambana na ufisadi, ndio sababu umeona zaidi ya matajiri 500 wamefilisika ndani ya kipindi hicho, yote hayo yameelezwa katika hizo ripoti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivyo 8,300-500=2,000?
Hivyo ndo mnafundhishwa St. Kayumba?
 
Hahahaaa!!unapigwa na ripoti yako mwenyewe
Unaleta source kujitetea kumbe hujui km itakuumbua mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bongolala anakuanga mjinga kuruka. There's another one called ichoboy, yeye pia analetanga links ambazo hajui content inasemaje mwishowe anajiaibisha. Hawa wawili ni kama walizaliwa na baba mmoja
 
Acha ujinga wewe, hiyo ripoti inasema by 2013, Tanzania ilikua na matajiri 5600, na wanaonfezeka kwa 51% kila mwaka, wakati Kenya mwaka 2013 ilikua na matajiri 8300 na kila mwaka walipungua, piga hesabu utapata jibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wapi hiyo ripoti yako inasema kwamba Tanzania imeongeza millionaires at a rate of 51% kila mwaka? The report clearly says that dollar millionaires in Tanzania increased by 51% between 2007 and 2013. How is that annual growth as you put it?

Secondly, there's nowhere the report says that Kenya's growth has been declining every year. It is well written that the number of dollar millionaires has increased by 24% between 2007 and 2013. It is only last year that Kenya lost 500 millionaires from her bucket.

Najua kizungu huwa ni kizungumkuti kwenu but that doesn't mean you should be stupid to comprehend simple things
 
Back
Top Bottom