witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Huyu jamaa kakulia outside ndo maana hana ushambaWe jamaa ni muislamu safi sana! Ni muislamu anayeijua dini yake na asiyeendeshwa na hisia bali fact!
Nilikuona hata kwenye uzi ule wa Thomas Aquinas jinsi ulivyokuwa ukimjibu yule muislamu mwingine!!
Nakukubali sana mkuu, Salute!