Acha kupoteza watu hayo ni mambo yako binafsi ... Mkuu endelea kulala, maana hii ndoto uliyoota leo, nakuamkia Jamii forums nakuanzia kupost unavyovijua wewe
...
aliyekwambia nasoma au nilisoma shule ya kata nani.? Acha kujishaua mkuu, hiyo shule yako nzuri imekusaidia nini au umefundishwa kupinga watu humu,na kuangalia nani kakosea kuandika
aliyekwambia nasoma au nilisoma shule ya kata nani.? Acha kujishaua mkuu, hiyo shule yako nzuri imekusaidia nini au umefundishwa kupinga watu humu,na kuangalia nani kakosea kuandika
aliyekwambia nasoma au nilisoma shule ya kata nani.? Acha kujishaua mkuu, hiyo shule yako nzuri imekusaidia nini au umefundishwa kupinga watu humu,na kuangalia nani kakosea kuandika
Boom is there xoon after registration that ur a student in university. Ndugu usitegemee kupokea boom ukiwa kwenu lazima tcu wapeleke majina ya wanafunzi ambao tayari ni wanachuo ndipo suala la mkopo liangiliwe kama umeomba!! Na mkataba wa mkopo upo chini ya wewe na chuo na sio wewe na helsb. Helsb wao watapambana na tcu na tcu itapambana vyuo na vyuo vitapambana na wewe.
Hii wote wa MWUCE na waliohudhuria orientation corse kwa 1year hawana hogu ya bumu sisi lecture zinaanza j3 mwanzo mwisho!!!!!