Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Tokea mke wangu aniende kwa mtaalamu pasi na mimi kujua, pombe imenikataa kabisa
Niliamua kutafuta mbadala ya pombe. Nilijaribu soda, juisi za viwandani hadi juisi za kienyeji. Zote ziligonga ukuta
Nowdays ninaporejea nyumbani, napitia energy drink moja, ndani tayari nina kipakiti changu cha Panadol za Kenya. Kabla ya msosi natupia vidonge viwili kwenye chupa ya kinywaji changu cha energy, nangoja dk2, kisha nakunywa taratiibu huku namtazama shemeji yenu kwa hamu
Muda huo chumba kizima nimefungulia boringo za akina Iyondo Sister au midundo ya akina Msondo Ngoma. Stimu ninayoipata ni kama ya mnywaji wa bia
Kwenu msiotumia bia, unatumia kinywaji kipi kama kiburudisho?
Niliamua kutafuta mbadala ya pombe. Nilijaribu soda, juisi za viwandani hadi juisi za kienyeji. Zote ziligonga ukuta
Nowdays ninaporejea nyumbani, napitia energy drink moja, ndani tayari nina kipakiti changu cha Panadol za Kenya. Kabla ya msosi natupia vidonge viwili kwenye chupa ya kinywaji changu cha energy, nangoja dk2, kisha nakunywa taratiibu huku namtazama shemeji yenu kwa hamu
Muda huo chumba kizima nimefungulia boringo za akina Iyondo Sister au midundo ya akina Msondo Ngoma. Stimu ninayoipata ni kama ya mnywaji wa bia
Kwenu msiotumia bia, unatumia kinywaji kipi kama kiburudisho?