Kwa wale mnaofurahia kuitwa "Bae"

Kwa wale mnaofurahia kuitwa "Bae"

Ki Mun

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2014
Posts
3,442
Reaction score
4,389
Have a wonderful weekend!

IMG_20180303_124041.jpg
 
Mbona kawaida hata hapa Tanzania, kabila fulani wanaweza tumia msamiati fulani ukiwa na maana fulani tofauti na maana nyingine katika kabila lingine.
 
Mmh na ndo maana ukitumia kiswahili kumwita mpenzi wako 'mtoto wangu ' dooh hainogi basi unaamua tu kumwita my baby.

Waache wapenzi waitane wanavyojisikia...
 
Kila neno ukilitafsiri kwa lugha nyingine lazima utapata maana nyingine, pengine inaweza kuwa mbaya au nzuri, lakini kikubwa ni kwamba wewe umetumia lugha gani? Hapo ndio pa msingi
 
Back
Top Bottom